Maelezo ya Chini
a Kwa kupendeza, wanaotetea kuhifadhiwa kwa mali ya asili ambao lengo lao ni kuokoa spishi nyingi iwezekanavyo zilizo hatarini hueleza maadili yao kuwa “kanuni ya Noa,” kwani Noa aliagizwa kuweka katika safina “kila kilicho hai chenye mwili.” (Mwanzo 6:19) “Kuendelea kuwapo [kwa spishi] katika asili kwafikiriwa kuwa na haki isiyo na lawama ya kuendelea kuwako,” abisha mwanabiolojia David Ehrenfeld.