Maelezo ya Chini
a Majaribio yalifanywa ili kuimarisha vizuizi hivi kwa kupotoa Maandiko. Ingawa Biblia haisemi jambo lolote kama hilo, mwanatheolojia mwenye uvutano Tertullian alifundisha kwamba kwa kuwa mwanamke ndiye aliyesababisha “dhambi ya kwanza, na makuruhu . . . ya kuteseka kwa wanadamu,” wanawake wanapaswa “kutembea kama Hawa wakiomboleza na kutubu.” Hata alisisitiza kwamba mwanamke mrembo kiasili hata apaswa kuficha urembo wake.—Linganisha Waroma 5:12-14; 1 Timotheo 2:13, 14.