Maelezo ya Chini
c Catherine Parr aliishi kwa muda mrefu kuliko Henry na hatimaye aliolewa na Thomas Seymour. Alikufa mnamo 1548, akiwa na umri wa miaka 36, muda mfupi tu baada ya kujifungua. Baada ya kukaa gerezani kwa muda fulani katika Mnara wa London, Gardiner alinyang’anywa uaskofu katika mwaka wa 1550. Alipata upendeleo chini ya Mkatoliki Mary wa Kwanza (1553) akafa mwaka wa 1555.