Maelezo ya Chini
a Mashahidi wa Yehova hukubali tiba kwa ajili yao wenyewe na kwa watoto wao. Lakini, kwa kutegemea katazo la wazi la Biblia la kutoingiza damu mwilini, wao hukataa kutiwa damu mshipani. (Mwanzo 9:3, 4; Matendo 15:28, 29) Kwa habari zaidi, ona broshua Damu Yaweza Kuokoaje Uhai Wako?, iliyochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.