Maelezo ya Chini
a Sasa mahali pake pakiwa pamechukuliwa na kipimo cha nuru kinachoitwa candela. Awali, kipimo hiki cha kimataifa, kinachopimwa kwa nguvu za nuru inayotoshana na ya mishumaa, ndicho kilichokuwa mng’ao wa nuru wenye nguvu nyingi kuelekea upande wowote kwa kulinganishwa na kiwango cha nuru ya mshumaa wa kawaida.