Maelezo ya Chini
a Kwa sababu za kidini, Mashahidi wa Yehova hawakubali kutiwa damu mishipani, na badala yake huomba matibabu yasiyohusisha damu. (Matendo 15:28, 29) Kwa habari kuhusu kiini cha habari hii na kwa nini kuwe na kukubali sababu kuhusu jambo hili, ona broshua Damu Yaweza Kuokoaje Uhai Wako?, iliyochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.