Maelezo ya Chini
e Hatari kama hizo zaweza kuwako katika vituo vya maongezi ya umma vilivyoanzishwa na Wakristo wenye nia nzuri kwa madhumuni ya kuzungumzia mambo ya kiroho. Watu wasio-haki na waasi-imani nyakati nyingine wamejiunga na mazungumzo hayo na kwa njia ya siri wamejaribu kuwashawishi wengine wakubali mawazo yao yasiyo ya Kimaandiko.