Maelezo ya Chini
b Kulingana na watafiti Sara McLanahan na Gary Sandefur, huko Marekani, “karibu asilimia 40 ya watoto ambao kulingana na kanuni wanapaswa kutegemezwa wakiwa watoto hawana [kibali cha mahakama] hata kidogo cha utegemezo wa mtoto, na robo ya wale walio na kibali hicho hawapati chochote. Watoto wanaopungua thuluthi moja ndio hupokea kiasi kamili wanachowiwa.”