Maelezo ya Chini
d Sheria ya Kimusa ilitaka mwanamume aliyemshawishi bikira amwoe. (Kumbukumbu la Torati 22:28, 29) Hata hivyo, ndoa ingeweza kuepukwa, kwa kuwa baba ya msichana angeweza kukataa. (Kutoka 22:16, 17) Ijapokuwa Wakristo leo hawako chini ya Sheria hiyo, hiyo hukazia uzito wa dhambi ya kufanya ngono kabla ya ndoa.—Ona “Maswali Kutoka kwa Wasomaji” katika toleo la Mnara wa Mlinzi, Novemba 15, 1989.