Maelezo ya Chini
a Bakteria zinazoishi katika matundu ya baharini hutumia utaratibu unaoitwa usanidi-kemia. Neno hilo latofautiana na usanidi-nuru, utaratibu unaotegemea nishati ya jua unaotumiwa na mimea iliyo ardhini na fitoplankitoni. Fitoplankitoni yatia ndani mimea au viumbe vinavyofanana na mimea vinavyoelea katika sehemu ya juu ya bahari, inayopata nuru ya jua.