Maelezo ya Chini
a Ingawa hivyo, katika visa fulani vibaya zaidi, huenda kukawa na sababu halali za kumfanya mume na mke waachane. (1 Wakorintho 7:10, 11) Isitoshe, Biblia inaruhusu talaka kwa msingi wa uasherati. (Mathayo 19:9) Kumtaliki au kutomtaliki mwenzi asiye mwaminifu ni uamuzi wa kibinafsi, na wengine hawapaswi kumlazimisha mwenzi asiye na hatia kufanya uamuzi wowote.—Ona kitabu Siri ya Kupata Furaha ya Familia, ukurasa 158-161, kilichochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.