Maelezo ya Chini
a Watu wana maoni mbalimbali kuhusu ugaidi. Kwa mfano, katika nchi zilizoharibiwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, matendo ya kijeuri kati ya vikundi vinavyozozana yanaweza kuonwa kuwa matendo halali ya kivita au kama ugaidi, ikitegemea yule anayehojiwa. Katika mfululizo huu wa makala, neno “ugaidi” kwa ujumla linamaanisha kuwashurutisha watu kwa kutumia jeuri.