Maelezo ya Chini
b Baadhi ya Wakristo leo vilevile ni waajiri; wengine wameajiriwa kazi. Kama vile mwajiri Mkristo hawakandamizi wale wanaomfanyia kazi, wanafunzi wa Yesu katika karne ya kwanza waliwatendea watumishi wao kwa kupatana na kanuni za Kikristo.—Mathayo 7:12.