Maelezo ya Chini
a Mashahidi wa Yehova walitambulishwa kambini kwa ishara ya rangi ya zambarau yenye pembe tatu. Familia ya Kusserow walikuwa Mashahidi wa Yehova nao walisimama imara katika imani wakati wa utawala wa Nazi. Soma toleo la Septemba 1, 1985, la Mnara wa Mlinzi, la Kiingereza, ukurasa wa 10-15.