Maelezo ya Chini
d Georgia ni mojawapo ya mataifa 123 yaliyotia sahihi Mkataba wa Umoja wa Mataifa Dhidi ya Mateso na Matendo au Adhabu ya Kikatili, ya Kinyama, au ya Kuvunjia Watu Heshima. Kwa hiyo, serikali ya Georgia imejiwajibisha “kupiga marufuku mateso yote.”