Maelezo ya Chini
b Wahubiri fulani wa uwongo walidai kwamba Mungu alikubali biashara hiyo ya watumwa yenye ukatili. Hivyo, watu wengi wangali wanadhani kwamba Biblia huunga mkono ukatili huo, na kumbe haifanyi hivyo. Tafadhali ona makala yenye kichwa “Maoni ya Biblia: Je, Mungu Alikubali Biashara ya Watumwa?” katika toleo la Amkeni! la Septemba 8, 2001.