Maelezo ya Chini
a Katika karne ya kwanza, ulafi ulikuwa jambo la kawaida kwenye karamu za Waroma. Hivyo, Wakristo walionywa wasiruhusu chakula au kitu kingine chochote kama hicho kiwafanye kuwa watumwa.—Waroma 6:16; 1 Wakorintho 6:12, 13; Tito 2:3.