Maelezo ya Chini
a Sanamu hiyo pia inaonyesha nyoka aliyejiviringisha kuzunguka mwili wa Shetani, jambo ambalo Biblia haisemi. Inaonekana Bellver alichochewa na sanamu ya Laocoon aliyoiona huko Roma. Laocoon alikuwa mwana-mfalme wa Trojan, na inasemekana kwamba yeye na wanawe wawili waliuawa na nyoka wawili.