Maelezo ya Chini
c Kwa kuwa utumwa ulikuwa sehemu ya mfumo wa kiuchumi wa Milki ya Roma, Wakristo fulani walikuwa na watumwa. Haidhuru kile ambacho sheria za Roma ziliruhusu, Maandiko yanaonyesha kwamba Wakristo hawakuwadhulumu watumishi wao. Badala yake, walipaswa kumtendea kila mmoja kama “ndugu.”—Filemoni 10-17.