Maelezo ya Chini
a Isitoshe, wengine wanapendekeza kwamba inafaa watu wote wanaotumia kompyuta wapumzishe macho baada ya kila dakika 15 kwa kutazama vitu vilivyo mbali. Wengine wanapendekeza watu wakae angalau sentimeta 60 kutoka kwenye skrini na kwamba wasitumie kompyuta wakiwa wamechoka.