Maelezo ya Chini
d Samaki tunaozungumzia hapa hutokeza nguvu kidogo sana za umeme. Wao ni tofauti na samaki wengine kama vile taa na mkunga, ambao hutokeza nguvu nyingi za umeme ili kushtua adui au kunasa windo. Mkunga hutokeza nguvu nyingi sana za umeme zinazoweza kumuua farasi!