Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Msomaji yeyote mwenye kufuata haki atakubali kwamba kusema jua limesimama angani kunamaanisha kwamba hivyo ndivyo mtu anavyoliona, wala si mchanganuo wa kisayansi. Hata wataalamu wa mambo ya angani mara nyingi husema kwamba jua, sayari, na nyota huchomoza na kutua. Huwa hawamaanishi kwamba magimba hayo ya mbinguni huzunguka dunia, lakini, badala yake, hayo huonekana kana kwamba yanasonga angani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki