Maelezo ya Chini
a Magonjwa hayo hutia ndani ugonjwa wa moyo, kiharusi, ugonjwa wa figo, ugonjwa wa mishipa ya damu, na kuharibika kwa neva. Mtu asipopata damu ya kutosha miguuni anaweza kupata vidonda, na nyakati nyingine inabidi mguu ulioathiriwa ukatwe. Mara nyingi, ugonjwa wa kisukari ndio husababisha watu wazima kuwa vipofu.