Maelezo ya Chini
a Kwa mfano, huenda watu fulani ambao waliabudu sanamu kabla ya kuwa Wakristo hawakuona tofauti yoyote kati ya kula nyama na kuabudu. Sababu nyingine huenda ilikuwa kwamba Wakristo waliokuwa dhaifu wangewaelewa vibaya wale waliokula na wangekwazika.