Maelezo ya Chini
a Mbali na homoni za mfadhaiko, nikotini, kileo, na dawa nyingine za kulevya zinaweza pia kumwathiri mtoto sana. Akina mama wajawazito wanapaswa kujiepusha kabisa na vitu vyovyote hatari. Isitoshe, ni muhimu kumwuliza daktari kuhusu jinsi dawa zinavyoweza kumwathiri mtoto aliye tumboni.