Maelezo ya Chini
b Iwapo mama ana huzuni nyingi sana, amevunjika moyo, havutiwi na mtoto wake, na hapendezwi na chochote, huenda anaugua ugonjwa wa kushuka moyo baada ya kujifungua. Ikiwa ndivyo, anapaswa kumwona daktari. Tafadhali ona matoleo ya Amkeni! ya Julai 22, 2002, ukurasa 19-23 na Juni 8, 2003, ukurasa wa 21-23.