Maelezo ya Chini
a Sheria ya Musa ilikuwa na maagizo kuhusu namna ya kuondoa takataka, namna ya kudumisha usafi wa mazingira na wa kimwili, na kuwatenga watu waliokuwa na magonjwa ya kuambukiza. Dakt. H. O. Philips anasema kwamba “mambo yanayopatikana katika Biblia kuhusu maisha, kupima magonjwa, matibabu, na mbinu za kuzuia magonjwa, ni ya kiwango cha juu zaidi na yenye kutegemeka zaidi kuliko dhana za Hippocrates.”