Maelezo ya Chini
b Makala hii imeandikwa kwa ajili ya watu wanaoshambuliwa kwa maneno na kupigwa. Shauri linaloweza kuwasaidia watu wenye tabia hiyo lilitolewa katika makala “Kutoka Maneno Yaumizayo Hadi Maneno Yaponyayo” na “Kudhulumu—Kuna Ubaya Gani?” katika matoleo yetu ya Oktoba 22, 1996, na Machi 22, 1997.