Maelezo ya Chini
a Biblia huwakumbusha Wakristo kwamba maneno yao yanahusiana sana na ibada yao. Inasema: “Ikiwa mtu yeyote anajiona kuwa mwabudu anayeshikilia vizuri namna ya ibada na bado hauongozi ulimi wake, bali anaendelea kuudanganya moyo wake mwenyewe, namna ya ibada ya mtu huyo ni ya ubatili.”—Yakobo 1:26.