Maelezo ya Chini
b Ijapokuwa wanaume na wanawake wanaweza kutukanwa na kutendewa vibaya kimwili, shirika la Vituo vya Marekani vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa linasema kwamba “wanawake hujeruhiwa zaidi ya wanaume.” Vyovyote vile, ili kurahisisha habari hii, tutazungumza juu ya wanaume wanaowadhulumu wanawake.