Maelezo ya Chini
a Jarida la The Medical Journal of Australia linasema: “Kuhangaikia sura kupita kiasi ni dalili ya kawaida ya magonjwa kadhaa ya kiakili.” Magonjwa hayo yanatia ndani kushuka moyo, ugonjwa wa kushindwa kudhibiti mawazo au misukumo, na ugonjwa wa kuhofu kunenepa. Hivyo ni vigumu kuutambua ugonjwa huo.