Maelezo ya Chini
c Wengine ambao wamechaguliwa wenzi wa ndoa wamekuwa na ndoa zenye furaha. Kwa mfano, katika nyakati za Biblia, baada ya kuchaguliwa mwenzi, Isaka na Rebeka walifunga ndoa, na Isaka “akampenda.” (Mwanzo 24:67) Somo ni nini? Usipuuze haraka desturi za eneo lenu maadamu hazipingani na sheria ya Mungu.—Matendo 5:29.