Maelezo ya Chini
a Makala “Vijana Huuliza . . . Nitamwambiaje Jinsi Ninavyohisi?” (Oktoba 22, 2004) ilieleza kwamba katika jamii fulani huenda mwanamke asiruhusiwe kumweleza mwanamume kwamba anampenda. Ijapokuwa Biblia haimzuii mwanamke kufanya hivyo, inawahimiza Wakristo waepuke kuwakwaza wengine. Hivyo, mwanamke anayetaka kupata baraka za Mungu huzingatia shauri la Biblia anapofikiria kuanzisha uhusiano na mwanamume fulani.—Mathayo 18:6; Waroma 14:13; 1 Wakorintho 8:13.