Maelezo ya Chini
a Kama vile David, Mashahidi wengi wa Yehova wamejitolea kuhamia eneo lenye uhitaji mkubwa wa wahubiri wa Ufalme, na hata baadhi yao wamejifunza lugha ya kigeni ili wawafundishe wengine kweli za Neno la Mungu. Zaidi ya Mashahidi 400 wamejitolea kuhamia katika Jamhuri ya Dominika.