Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Merengue ni aina fulani ya muziki wa dansi. Zamani, kikundi kidogo cha wanamuziki kilicheza merengue kwa kutumia kodiani, guiro (kikwanguzi cha chuma), na tambora (ngoma mbili ndogo zilizounganishwa). Baada ya muda, bendi kubwa zaidi (ambazo pia ziliitwa okestra katika Jamhuri ya Dominika) zilianzishwa. Kwa sasa, vikundi vingi vya merengue hutumia piano, saksafoni, tarumbeta, na ngoma za conga, na pia ala nyingine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki