Maelezo ya Chini
b Kuna vituo vingi vya matibabu, hospitali, na programu za kuwasaidia waraibu. Mashahidi wa Yehova hawapendekezi matibabu yoyote hususa. Mtu anapaswa kuwa mwangalifu ili asijihusishe na utendaji ambao utapingana na kanuni za Biblia. Hata hivyo, baada ya kufikiria mambo yote, kila mtu atajiamulia mwenyewe matibabu anayohitaji.