Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Neno “mumiani” linatokana na neno la Kiarabu mummiya, linalomaanisha “lami” au “bereu.” Hapo awali neno hilo lilitumiwa kwa maiti iliyopakwa utomvu kwa sababu ya weusi wake. Sasa neno hilo hutumiwa kurejelea mwili wowote ule uliohifadhiwa, wa mwanadamu au wa mnyama hata kama umehifadhiwa kiaksidenti au kwa kusudi fulani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki