Maelezo ya Chini
c Andiko la Mambo ya Walawi 19:28 linasema: “Msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa.” Zoea hilo la kipagani ambalo yaonekana lilikusudiwa kuwatuliza miungu iliyodhaniwa kuwa inawasimamia wafu ni tofauti na zoea la kujiumiza linalozungumziwa hapa.