Maelezo ya Chini c Nyakati nyingine unaweza kuandika hisia zako. Waandishi wa zaburi za Biblia walikuwa wanaume wenye hisia nyingi ambao walitumia maneno kueleza majuto, hasira, kukata tamaa, na huzuni. Kwa mfano, huenda ukataka kusoma ZaburiĀ 6, 13, 42, 55, na 69.