Maelezo ya Chini
a Neno “malaika,” ambalo kihalisi humaanisha “mjumbe,” nyakati nyingine huwa na maana pana. Linaweza kurejelea viumbe mbalimbali wa roho hata wanadamu wanaomtumikia Mungu. Hata hivyo, katika makala haya, tunarejelea viumbe wa roho ambao kwa kawaida Biblia huwaita malaika.