Maelezo ya Chini
g Taarifa: Mwanzo sura ya 1 inasema mimea na wanyama waliumbwa “kulingana na aina yake.” (Mwanzo 1:12, 21, 24, 25) Hata hivyo, neno “aina” katika Biblia halitumiwi kwa njia hususa na halipaswi kueleweka kuwa na maana sawa na neno “spishi” linalotumiwa katika sayansi.