Maelezo ya Chini
c Huenda msichana akapendelea kuongea na mama yake au na dada aliye mkomavu kiroho kutanikoni.
MAMBO YA KUFIKIRIA
◼ Kwa nini ni muhimu kukumbuka kwamba Yehova yuko “tayari kusamehe”?—Zaburi 86:5.
◼ Utachukua hatua gani ili ushinde zoea la kupiga punyeto?
◼ Kwa nini hupaswi kuaibika kuomba msaada?
◼ Unaweza kuendeleaje kufikiria mambo yaliyo safi?