Maelezo ya Chini
a Neno la Kigiriki linalotafsiriwa “uasherati” linahusisha mwenendo wowote wa kingono na mtu mwingine nje ya ndoa ambao unahusisha matumizi ya viungo vya uzazi, kutia ndani ngono ya kinywa.—Ona Amkeni! la Julai 22, 2004 (22/7/2004), ukurasa wa 12, na Mnara wa Mlinzi, la Februari 15, 2004 (15/2/2004), ukurasa wa 13, yaliyochapishwa na Mashahidi wa Yehova.