Maelezo ya Chini
a Badala ya wazazi kushutumu Intaneti, wanapaswa kujua vituo ambavyo watoto wao hupenda kuvifungua. Kwa njia hiyo, watoto wanaweza kusaidiwa ‘kuzoeza nguvu zao za ufahamu kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.’ (Waebrania 5:14) Mazoezi kama hayo kutoka kwa wazazi yatawasaidia watoto wanapokomaa.