Maelezo ya Chini
a Biblia inataja miadhimisho miwili tu ya siku za kuzaliwa iliyofanywa na wapagani, nayo inatajwa kwa njia isiyofaa. (Mwanzo 40:20-22; Marko 6:21-28) Hata hivyo, Neno la Mungu linawatia moyo watu wapeane zawadi kwa kuchochewa kutoka moyoni wala si kwa sababu ya kulazimishwa na jamii au marafiki.—Methali 11:25; Luka 6:38; Matendo 20:35; 2 Wakorintho 9:7.