Maelezo ya Chini
c Uasherati unatia ndani mambo kama vile ngono kati ya watu ambao hawajafunga ndoa, ngono ya mdomo na ya mkundu, vitendo vya ngono kati ya watu wa jinsia moja, kumpiga mtu mwingine punyeto, na vitendo vingine vinavyohusisha matumizi yasiyofaa ya viungo vya uzazi kati ya watu wawili ambao hawajaoana.
MAMBO YA KUFIKIRIA
◼ Ingawa huenda mwili wako usio mkamilifu ukavutiwa kufanya ngono haramu, kwa nini si sawa?
◼ Utafanya nini ikiwa mtu fulani anakuomba ufanye ngono naye bila kuwajibika?