Maelezo ya Chini
b Wakristo wana sababu yenye nguvu ya kuepuka lugha chafu, kwa kuwa Biblia inasema: “Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu.” “Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote, yenye kukolezwa chumvi.”—Waefeso 4:29; Wakolosai 4:6.
b Wakristo wana sababu yenye nguvu ya kuepuka lugha chafu, kwa kuwa Biblia inasema: “Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu.” “Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote, yenye kukolezwa chumvi.”—Waefeso 4:29; Wakolosai 4:6.