Maelezo ya Chini
c Jina Yehova linatofautiana kabisa na majina ya cheo kama vile Mweza-Yote, Muumba, Mungu, na Bwana. Jina hilo linapatikana mara elfu saba hivi katika maandishi ya awali ya Biblia Takatifu. Mungu alijipa jina hilo. Andiko la Kutoka 3:15 linasema hivi: “Jehova . . . hili ndilo jina langu milele.”—The Old Testament in Swahili (Mombasa).