Maelezo ya Chini
a Karibu kila mahali ambapo neno “upendo” linatumiwa katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo au “Agano Jipya” linatafsiriwa kutoka kwa neno la Kigiriki a·gaʹpe. A·gaʹpe ni upendo wa maadili unaochochewa na kanuni, wajibu, au kutaka kufanya jambo unalopaswa kufanya. Hata hivyo, a·gaʹpe si upendo usio na hisia bali unaweza kuwa wenye kina na mchangamfu.—1 Petro 1:22.