Maelezo ya Chini
a Katika sala yake ya mfano, Yesu hakusema: “Ni lazima basi msali sala hii,” jambo ambalo lingepingana na yale aliyokuwa ametoka tu kusema. Badala yake alisema: “Basi, ninyi msali hivi.” (Mathayo 6:9-13) Alikuwa akitaka kufundisha somo gani? Kama vile sala ya mfano inavyofunua, tunapaswa kutanguliza mambo ya kiroho badala ya mambo ya kimwili.